.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 14 Agosti 2017

WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE LEO KATIKA MKOA WA TABORA

PMO_8135
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongea na Viongozi pamoja na watumishi wa Mkoa wa Tabora leo August.13.2017 wakati wa majumuisho ya ziara yake Mkoa wa Tabora. Ambo ume fanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora
PMO_8269
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiagana katika Uwanja wa Ndege wa Tabora leo August.13.2017 . na Mwenyeji wake Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Agrey Mwandri baada ya kumaliza ziara ya siku Nne katika Mkoa wa Tabora ,katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Tabora Queen Mwashinga
PMO_8275
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa .akiwapungia Mkono wa kwaheri Viongozi pamoja na wananchi wa Mkoa wa Tabora ambao walifika kumuaga katika Uwanja wa Ndege wa Tabora baada ya kumaliza ziara ya siku Nne ya kikazi katika Mkoa wa Tabora leo August 13,2017. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni