Kocha wa Chelsea Antonio Conte
amesema amefurahishwa na namna kikosi chake kilivyopambana na kuibuka
na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Bournemouth.
Goli lililofungwa na Eden Hazard
katika kipindi cha pili lilitosha kabisa kuipatia Chelsea pointi tatu
na kukaa katika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu ya
Uingereza.
Awali kocha Conte alionekana kukerwa
mno na taarifa kuwa wachezaji hawana furaha na mbinu anazotumia
kuwafundisha.
Mchezaji wa Chelsea Pedro akiruka juu kujaribu kuumiliki mpira
Eden Hazard akiwa anaangalia mpira alioupiga ukitinga wavuni na kuandika goli pekee katika mchezo huo



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni